Popular Posts

Tuesday, February 22, 2011

JE HUU NDIYO MAANA YA KUWA KIOO CHA JAMII?

Najaribu kutafakali na kujiuliza pale Msanii Maarufu anapoonekana kumrubuni binti mdogo na kumpa uja uzito na baadaye kuahidi kumtumza bila kumuoa, inakuwa ni kumsaidia au kumharibia maisha? Nimgependa wadau wote wajaribu kutoa mawazo na michango yao juu ya suala hili kwa kina kidogo.


No comments:

Post a Comment