Najaribu kutafakali na kujiuliza pale Msanii Maarufu anapoonekana kumrubuni binti mdogo na kumpa uja uzito na baadaye kuahidi kumtumza bila kumuoa, inakuwa ni kumsaidia au kumharibia maisha? Nimgependa wadau wote wajaribu kutoa mawazo na michango yao juu ya suala hili kwa kina kidogo.
Popular Posts
-
MUNGU ANAJUA ATENDALO RIP WANAMUZIKI WETU WA 5STARS UKAIDI wa dereva wa basi dogo aina ya Coaster ndiyo uliosababisha vifo vya wasanii 13 ...
-
Diva: PICTURES ZA SIKU 2 TOFAUTI
-
MSAMA PROMOTIONS RATIBA YA TAMASHA LA PASAKA - 24 APRILI 2011 DIAMOND JUBILEE MUDA TUKIO MHUSIKA ...
-
Kipindi cha Usafiri huu ulikuwepo? Hivi haya mabasi ya DART yatakuwa na muonekano huu au yanakuja kwa staili nyingine?
-
Wakala wa Barabara Tanzania - TANROADS kwa kushirikiana na Chama cha Malezi Bora Tanzania (UMATI) wapo kwenye zoezi la kuwaelimisha watu wai...
-
Mmoja kati wa waelimishaji wa Mpango shirikisha wa matumizi bora ya Barabara ya Chalinze Segera Tanga ndugu Deo Mutta akiwaelekeza wanafunzi...
-
DEO MUTTA: AJALI YA WANAMUZIKI WA BAND YA FIVE STAR MODERN TA... : "MUNGU ANAJUA ATENDALO RIP WANAMUZIKI WETU WA 5STARS UKAIDI wa dere...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment