Popular Posts
-
MUNGU ANAJUA ATENDALO RIP WANAMUZIKI WETU WA 5STARS UKAIDI wa dereva wa basi dogo aina ya Coaster ndiyo uliosababisha vifo vya wasanii 13 ...
-
Diva: PICTURES ZA SIKU 2 TOFAUTI
-
MSAMA PROMOTIONS RATIBA YA TAMASHA LA PASAKA - 24 APRILI 2011 DIAMOND JUBILEE MUDA TUKIO MHUSIKA ...
-
Kipindi cha Usafiri huu ulikuwepo? Hivi haya mabasi ya DART yatakuwa na muonekano huu au yanakuja kwa staili nyingine?
-
Wakala wa Barabara Tanzania - TANROADS kwa kushirikiana na Chama cha Malezi Bora Tanzania (UMATI) wapo kwenye zoezi la kuwaelimisha watu wai...
-
Mmoja kati wa waelimishaji wa Mpango shirikisha wa matumizi bora ya Barabara ya Chalinze Segera Tanga ndugu Deo Mutta akiwaelekeza wanafunzi...
-
DEO MUTTA: AJALI YA WANAMUZIKI WA BAND YA FIVE STAR MODERN TA... : "MUNGU ANAJUA ATENDALO RIP WANAMUZIKI WETU WA 5STARS UKAIDI wa dere...
Thursday, February 17, 2011
MABOMU YA MBAGALA NA GONGOLAMBOTO YANAFUNDISHO GANI KWA WATANZANIA?
Matukio ya milipuko ya Mabomu yaliyotokea Mbagala na Gongolamboto yanatufundisha kuwa Umakini ni muhimu sana katika maisha ya kila siku. Hakuna kitu kibaya kama dharau ambayo mwisho wa siku inapelekea watu wasiokuwa na hatia kupoteza maisha makazi na kupata vilema vya maisha. Ni vyema Watanzania tukajifunza kitu kupitia matukio haya. MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment