Matukio ya milipuko ya Mabomu yaliyotokea Mbagala na Gongolamboto yanatufundisha kuwa Umakini ni muhimu sana katika maisha ya kila siku. Hakuna kitu kibaya kama dharau ambayo mwisho wa siku inapelekea watu wasiokuwa na hatia kupoteza maisha makazi na kupata vilema vya maisha. Ni vyema Watanzania tukajifunza kitu kupitia matukio haya. MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA.
No comments:
Post a Comment